Machozi ya Ufanisi

ARCHIVAL ENTRY

Machozi ya Ufanisi

Stephen Mwangi Mbugua

KES

Bara Books digital archive

THE WORK

Book Details

Hiki ni kisa cha mtu aliyepitia madhila kochokocho na kukumbwa na changamoto mbalimbali maishani. Hadithi hii inachambua kinagaubaga maisha ya kijana Tafi toka utotoni. Mambo mengi aliyoyapitia ujanani ni ya kweli na kusisimua, na kutia hima vijana chipukizi hususan kwenye michakato ya kufikia ufanisi wao. Maisha yake yalianzia mbali hata kabla ya vurugu ya mapambano ya wanaharakati wa uhuru wa Kenya. Hadithi hii inaangazia ari na hamasa ya kijana Tafi kufikia upeo wa lengo lake, ikiwapo kupanda na kushuka maishani kukiwa ni jambo la kawaida. Aidha, hadithi hii ina visa vya kujifunza mengi na hata wewe mpendwa msomaji hutajuta kuisoma. Asante.

LEA Publishers

SPECIFICATIONS

Technical Registry

01. Binding
paperback
02. ISBN
1234567890
03. Page Count
Archive Pending
04. Language
English (EN)

ARCHIVE DATA

Collection Record

01. Author
Stephen Mwangi Mbugua
02. Category
Hadithi Fupi
03. Status
In Archive
04. Acquisition